• HABARI MPYA

    Saturday, May 06, 2017

    MAN CITY YAIFUMUA CRYSTAL PALACE 5-0 ETIHAD

    David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Vincent Kompany dakika ya 49, Kelvin De Bruyne dakika ya 59, Raheem Sterling dakika ya 82 na Nicolas Otamendi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAIFUMUA CRYSTAL PALACE 5-0 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top