David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Vincent Kompany dakika ya 49, Kelvin De Bruyne dakika ya 59, Raheem Sterling dakika ya 82 na Nicolas Otamendi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Elijah Jones NFL Draft 2024: Scouting Report for Boston College CB
-
HEIGHT: 6'2" WEIGHT: 185 HAND: 9¼" ARM: 31½" WINGSPAN: 76" 40-YARD DASH:
4.44 3-CONE: 7.07 SHUTTLE: 4.25 VERTICAL: 42.5" BROAD: 10'11" POSITIVES —
Very good…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment