David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Vincent Kompany dakika ya 49, Kelvin De Bruyne dakika ya 59, Raheem Sterling dakika ya 82 na Nicolas Otamendi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea hit with £150,000 fine after water bottle was thrown from dugout at
Aston Villa coaches
-
The identify of the actual thrower from the Blues technical area has not
been found despite an FA and club investigation.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment