Beki wa Anderlecht, Serigne Mbodji akiteleza kuondosha mpiura miguuni mwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford usiku wa jana katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya michuano ua UEAF Europa League Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Brussel, Ubelgiji. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, United wakitangulia kwa bao la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 37 kabla ya Leander Dendoncker kuisawazishia Anderlecht dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea's Bright on 'biggest game of career' against Barca
-
Chelsea captain Millie Bright tells BBC Sport it is the "biggest game of
our careers" as the Blues prepare to take on Barcelona in the Women's
Champions Le...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment