• HABARI MPYA

    Friday, April 14, 2017

    MAN UNITED YAPIGA HONI NUSU FAINALI EUROPA LEAGUE

    Beki wa Anderlecht, Serigne Mbodji akiteleza kuondosha mpiura miguuni mwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford usiku wa jana katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya michuano ua UEAF Europa League Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Brussel, Ubelgiji. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, United wakitangulia kwa bao la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 37 kabla ya Leander Dendoncker kuisawazishia Anderlecht dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YAPIGA HONI NUSU FAINALI EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top