Mfungaji wa bao pekee la Atletico Madrid, Antoine Griezmann kwa penalti dakika ya 28 katika ushindi wa 1-0 akiwa hewani kuwania mpira dhidi ya wachezaji wa Leicester City, Danny Drinkwater na Ndindi (kulia) katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid. Penalti hiyo ilitolewwa baada ya Marc Albrighton kumchezea rafu Griezmann nje ya boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video surfaces of 326-POUND Chiefs draftee Kingsley Suamataia showing off
his athletic ability with incredible standing jump out of a pool... after
OT was selected by Kansas City with 63rd pick at the NFL Draft
-
Incredible video footage of massive Chiefs draftee Kingsley Suamataia
jumping out of a pool surfaced on Friday night after Kansas City selected
him in the ...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment