Nyota wa Brazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia timu yake dakika ya 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Ecuador kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika Kusini usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Olimpico Atahualpa mjini Quito. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Gabriel Jesus dakika za 87 na 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England's trailblazing 1994 World Cup winners
-
The story of England's victory against the odds in the largely overlooked
1994 Rugby World Cup final.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment