Nyota wa Brazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia timu yake dakika ya 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Ecuador kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika Kusini usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Olimpico Atahualpa mjini Quito. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Gabriel Jesus dakika za 87 na 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lewis Hamilton suffers heavy CRASH during final practice ahead of Abu Dhabi
Grand Prix as nightmare debut season with Ferrari hits fresh low
-
Lewis Hamilton's nightmare debut season with Ferrari is showing no signs of
abating after the seven-time world champion suffered a heavy crash in third
pra...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment