Mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard (kushoto) akifumua shuti la nguvu kuisawazishia timu yake usiku wa Jumatatu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Tottenham Hotspur Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Gary Cahill, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Kane na Son Heung-min na kwa sare hiyo Leicester City wanakuwa mabingwa wapya wa England kwani pointi zao 77 haziwezi tena kufikiwa na Spurs PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scotland handed 2am kick-off for World Cup opener against Haiti in
Boston... and must face Brazil in the baking heat of Miami
-
The Tartan Army will be asked to burn the midnight oil during next summer's
World Cup after Scotland were handed a series of late-night kick-off slots.
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment