Mshambuliaji wa West Ham, Andy Carroll (kushoto) akiutelezea mpira miguuni mwa beki wa Arsenal, Laurent Koscielny katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Boleyn Ground, London. Timu hizo zimetoka sare ya 3-3, mabao yote ya West Ham yamefungwa na Andy Carroll, wakati ya Arsenal yamefungwa na Mesut Ozil, Alexis Sanchez na Koscielny PICHA ZAIDI GONGA HAPA
On-strike Cristiano Ronaldo FAILS to stop Karim Benzema's Saudi swap
transfer and now faces uncertain future on his £488,000-a-day deal as his
club Al-Nassr go into media blackout
-
Ronaldo has reportedly been aggrieved that Al-Hilal have a net spend
£180million higher than that of his own team since the 2022-23 season, when
he arrived.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment