Mshambuliaji wa West Ham, Andy Carroll (kushoto) akiutelezea mpira miguuni mwa beki wa Arsenal, Laurent Koscielny katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Boleyn Ground, London. Timu hizo zimetoka sare ya 3-3, mabao yote ya West Ham yamefungwa na Andy Carroll, wakati ya Arsenal yamefungwa na Mesut Ozil, Alexis Sanchez na Koscielny PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Exec on Caleb Williams: 'He's Built Different' Than Panthers' Bryce
Young
-
Like Bryce Young, the No. 1 pick of the 2023 draft, prospective top 2024
selection Caleb Williams is smaller than the average NFL quarterback. The
difference…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment