Mshambuliaji wa West Ham, Andy Carroll (kushoto) akiutelezea mpira miguuni mwa beki wa Arsenal, Laurent Koscielny katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Boleyn Ground, London. Timu hizo zimetoka sare ya 3-3, mabao yote ya West Ham yamefungwa na Andy Carroll, wakati ya Arsenal yamefungwa na Mesut Ozil, Alexis Sanchez na Koscielny PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ricky Hatton was more than twice the drink drive limit when he took his own
life in games room of his home after packing bags for a Dubai flight the
next day, inquest hears
-
Boxing champion Ricky Hatton was found fully clothed in the games room of
his £1.7million mansion in Hyde, Greater Manchester, on September 14 last
year ag...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment