Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 83 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Old Trafford timu hizo zikitoa sare ya 1-1. Bao la West Ham limefungwa na Dimitri Payet dakika ya 68 na sasa timu hizo zitarudiana kuwania kwenda Nusu Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reigning champion Brecel leads Gilbert at Crucible
-
Reigning world champion Luca Brecel makes two centuries to hold a 6-3 lead
over David Gilbert after the first session at the Crucible.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment