Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 83 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Old Trafford timu hizo zikitoa sare ya 1-1. Bao la West Ham limefungwa na Dimitri Payet dakika ya 68 na sasa timu hizo zitarudiana kuwania kwenda Nusu Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton 2-1 Liverpool: Reds out-played, out-run and out-fought AGAIN in
worrying glimpse into the future, writes LEWIS STEELE - as Danny Welbeck
amplifies England World Cup claim
-
LEWIS STEELE AT THE AMEX: A better song might have been: 'Hey, Danny
Welbeck… I wanna know why you're not in the England squad.'
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment