Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 83 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku huu Uwanja wa Old Trafford timu hizo zikitoa sare ya 1-1. Bao la West Ham limefungwa na Dimitri Payet dakika ya 68 na sasa timu hizo zitarudiana kuwania kwenda Nusu Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Terry's daughter urges him not to post embarrassing reaction video
which has made him a laughing stock for Arsenal fans after he hoped for a
Chelsea goal... only to see Kai Havertz score!
-
In his video, Terry is admonished by his daughter, Summer, 19, who says
'don't put that anywhere please' after he turns the camera towards her on
the couch...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment