Mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic akiondoka na mpira baada ya kufunga mabao manne katika ushindi wa 9-0 ugenini dhidi ya Troyes kwenye mchezo wa Ligue 1 ya Ufaransa usiku wa leo Uwanja wa Aube. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani, Adrien Rabiot, Dreyer na Saunier aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What to know about Diego Garcia after Iran targets the remote island's key
US military base
-
Iran has launched missiles at Diego Garcia, an Indian Ocean island that is
home to a strategic U.K.-U.S. military base. Britain condemned “Iran’s
reckless ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment