Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao matatu dakika ya tano, 33 na 59 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Dynamo Kiev kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa NSK Olimpiki mjini Kiev. Mabao mengine yalifungwa na Marcos Alonso dakika ya 45 na ushei na Callum Hudson-Odoi dakika ya 78 na Chelsea inakwenda robo fainali kwa ushindi wa jumla wa 8-0 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment