• HABARI MPYA

    Sunday, March 17, 2019

    SIMBA SC NA AS VITA KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA

    Kiungo Mzambia wa Simba SC, Clatous Chama akimuacha chini mchezaji wa AS Vita katika mchezo wa mwisho wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-1 na kuingia Robo Fainali 
    Clatous Chama (kushoto) akiondoka na mpira jana Uwanja wa Taifa

    Nahodha wa Simba SC, mshambuliaji John Bocco akiondona na mpira

    Kiungo wa Simba SC, Muzamil Yassin akiondoka na mpira jana Uwanja wa Taifa

    Kipa wa AS Vita, Nelson Lukong akidaka mpira jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam

    John Bocco (kulia) akifukuzia mpira dhidi ya mchezaji wa AS Vita jana

    Kikosi cha Simba SC kilichoanza jana dhidi ya AS Vita

    Kikosi cha AS Vita kilichoanza jana dhidi ya Simba SC

    Wachezaji wa Simba SC wakimpongeza Clatous Chama baada ya kufunga bao la pili jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA AS VITA KATIKA PICHA JANA UWANJA WA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top