Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 17 kwa penalti na 78 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Lyon kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 31, Gerard Pique dakika ya 81 na Ousmane Dembele dakika ya 86, wakati la Lyon limefungwa na Lucas Tousart dakika ya 58 na Barcelona inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment