Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 18, 45 na ushei na 85 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Bao lingine lilifungwa na Luis Suarez dakika ya 63 huku la Betis likifungwa na Loren Moron dakika ya 82 na kwa ushindi huo Barcelona inafikisha pointi 66 baada ya kucheza mechi 28 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi 10 zaidi ya Atletico Madrid walio nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment