Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 77 kufuatia Isco kufunga la kwanza dakika ya 62 ikiilaza Celta Vigo 2-0 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu, Zinadine Zidane akirejea na mguu mzuri kwa ushindi katika mchezo wake wa kwanza baada ya kupewa tena mikoba ya kuionoa timu hiyo. Kwa ushndi huo, Real Madrid inafikisha pointi 54 katika mchezo wa 28, ikiendelea kushika nafasi ya tatu nyuma ya Atletico Madrid yenye pointi 56 za mechi 28 pia na Barcelona pointi 63 mechi 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment