Marcus Rashford akiteleza kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 28, kabla ya Anthony Martial kufunga la pili dakika ya 72 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Watford ambayo bao lake limefungwa na Abdoulaye Doucoure dakika ya 90 usiku wa leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Kwa ushindi huo wa kwanza baada ya kocha Ole Gunnar Solskjaer kusaini mkataba wa miaka mitatu kuwa kocha wa kudumu, Man United inafikisha pointi 61 baada ya kucheza mechi 31 na kurejea nafasi ya nne ikiizidi pointi moja Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment