Mshambuliaji na Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-1 na Venezuela Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao ya Venezuela yalifungwa na Salomon Rondon dakika ya sita, Jhon Murillo dakika ya 44 na Josef Martinez dakika ya 75 kwa penalti wakati la Argentina lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anderson scores late equaliser as Forest move closer to safety
-
Elliot Anderson scores against his former club to earn Nottingham Forest a
1-1 draw against Newcastle United and a seven-point cushion from the
Premier Lea...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment