Mshambuliaji na Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-1 na Venezuela Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao ya Venezuela yalifungwa na Salomon Rondon dakika ya sita, Jhon Murillo dakika ya 44 na Josef Martinez dakika ya 75 kwa penalti wakati la Argentina lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment