Kiungo wa Chelsea, N'Golo Kante (kushoto) akiwania mpira wa juu dhidi ya wachezaji wa Everton, Idrissa Gueye (juu) na Andre Gomes (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Goodison Park. Everton ilishinda 2-0, mabao ya Richarlison dakika ya 49 na Gylfi Sigurdsson dakika ya 71 kwa penalti na kwa ushindi huo The Toffees wanafikisha pointi 40 baada ya kucheza mechi 31, ingawa wanabaki nafasi ya 11, wakati Chelsea inayobaki na pointi zake 57 za mechi 30, inabaki nafasi ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment