Nahodha Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Hispania kwa penalti dakika ya 71 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Norway kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Mestalla mjini Valencia. Hispania ilitangulia kwa bao la Rodrigo dakika ya 16 kabla ya Joshua King kuisawazishia Norway kwa penalti dakika ya 65 na mechi nyingine za kundi hilo, Sweden iliichapa 2-1 Romania mjini Solna na Malta ikaifunga 2-1 Faroe Islands mjini Ta'Qali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal pass their most difficult test after breathless VAR drama: OLIVER
HOLT on the moment that could define the season, how the Gunners nearly
lost their heads and what Pep Guardiola would have made of it all
-
OLIVER HOLT AT THE LONDON STADIUM: On Saturday night, Pep Guardiola had
raised his arms and crossed one wrist in front of the other in the symbol
of West H...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment