Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 10 kabla ya Michy Batshuayi kufunga la pili dakika ya 18 Ubelgiji ikiwalaza wenyeji, Cyprus 2-0 katika mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Neo GSP mjini Nicosia. Hazard amekamilisha mechi 100 za kuichezea Ubelgiji, huku mechi nyingine za kundi hilo jana Urusi iliikung'uta Kazakhstan 4-0 mjini Astana na Scotland ikaifunga 2-0 San Marino mjini Serravalle PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers' Frank Vogel Calls Anthony Davis' 50-Point Night 'One for the Ages'
-
Los Angeles Lakers big man Anthony Davis turned back the clock during his
team's 142-125 victory over the Minnesota Timberwolves on Sunday. "An
old-school ...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment