Mkongwe Fabio Quagliarella akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Italia dakika za 35 na 45 na ushei yote kwa penalti katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Liechtenstein kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Ennio Tardini mjini Parma. Mabao mengine ya Italia yalifungwa na Stefano Sensi dakika ya 17, Marco Verratti dakika ya 32, Moise Kean dakika ya 69 na Leonardo Pavoletti dakika ya 76 na kwa ushindi huo The Azzurri inafikisha pointi sita kufuatia kushinda mechi zake zote mbili za mwanzo ikifuatiwa na Ugiriki yenye pointi nne. Mechi nyingine za kundi hilo jana Bosnia-Herzegovina ililazimishwa sare ya 2-2 Ugiriki mjini Zenica na Finland ikawachapa wenyeji, Armenia 2-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment