Sergio Aguero na Bernardo Silva wakishangilia pamoja baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Manchester City dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Craven Cottage mjini London. Silva alifunga dakika ya tano na Aguero dakika ya 27 na kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 31, ikirejea kileleni mwa Ligi Kuu England, sasa ikiizidi pointi moja Liverpool ambayo kesho itamenyana na Tottenham Hotspur Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment