Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia kwa staili ya Wakanda Forever katika filamu ya Black Panther baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za tano na 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Rennes kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates. Bao lingine lilifungwa na Ainsley Maitland-Niles dakika ya 15 na Arsenal inafuzu Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya kufungwa 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England beat New Zealand in T20 series opener
-
Heather Knight's 63 from 39 balls set up a comfortable win for England in
the first T20 against New Zealand.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment