Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akijaribu kuwatoka mabeki wa Ukraine usiku wa jana Uwanja wa Luz mjini Lisbon katika mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 alipokuwa akiichezea Ureno kwa mara ya kwanza tangu baada ya Fainali za kombe la Dunia mwaka jana Urusi. Timu hizo hazikufungana na mechi nyingine ya Kundi B jana, Luxembourg iliichapa Lithuania 2-1 mjini Luxembourg PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment