Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil mabao mawili dakika za 83 na 90 ikiichapa Jamhuri ya Czech 3-1 kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Sinobo mjini Praha. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 49, wakati la Czech lilifungwa na David Pavelka dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anderson scores late equaliser as Forest move closer to safety
-
Elliot Anderson scores against his former club to earn Nottingham Forest a
1-1 draw against Newcastle United and a seven-point cushion from the
Premier Lea...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment