Mshambuliaji wa Simba SC, Adam Salamba akimdhibiti beki wa Ruvu Shooting, Tumba Lui Swedi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0.
Beki Mghana wa Simba SC, Nicholas Gyan (kushoto) akipiga hesabu za kumpokonya mpira winga wa Ruvu Shooting, Emmanuel Martin (kulia)
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga (kushoto) akipiga mpira jana dhidi ya mchezaji wa Ruvu Shooting
Kikosi cha Simba SC kilichoanza kwenye mechi ya jana dhidi ya Ruvu Shooting
Kikosi cha Ruvu Shooting kilichoanza kwenye mechi ya jana dhidi ya Simba SC
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment