Mshambuliaji wa Simba SC, Adam Salamba akimdhibiti beki wa Ruvu Shooting, Tumba Lui Swedi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0.
Beki Mghana wa Simba SC, Nicholas Gyan (kushoto) akipiga hesabu za kumpokonya mpira winga wa Ruvu Shooting, Emmanuel Martin (kulia)
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga (kushoto) akipiga mpira jana dhidi ya mchezaji wa Ruvu Shooting
Kikosi cha Simba SC kilichoanza kwenye mechi ya jana dhidi ya Ruvu Shooting
Kikosi cha Ruvu Shooting kilichoanza kwenye mechi ya jana dhidi ya Simba SC
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment