Memphis Depay (kushoto) na Georginio Wijnaldum wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-0 Uholanzi dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa kwanza wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjini Rotterdam. Depay alifunga mawili dakika ya kwanza na 55 kwa penalti na Wijnaldum alifunga la pili dakika ya 21, wakati la nne lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anderson scores late equaliser as Forest move closer to safety
-
Elliot Anderson scores against his former club to earn Nottingham Forest a
1-1 draw against Newcastle United and a seven-point cushion from the
Premier Lea...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment