Kikosi cha Simba SC kabla ya mechi ya Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara Julai 2, mwaka 1994 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Kutoka kulia waliosimama George Masatu, Mustapha Hoza, Hussein Marsha, Mwameja Mohammed, Godwin Aswile, Madaraka Suleiman na Mfadhili, Azim Dewji. Waliochuchumaa kutoka kulia Edward Chumila (marehemu), Iddi Suleiman ‘Meya’, Deo Mkuki, Duwa Said na Athumani China. Simba SC ilishinda 4-1 mabao yake yakifungwa na George Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani na Dua Saidi wakati bao pekee la Yanga SC lilifungwa na Constantine Kimanda.
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment