Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Barcelona dakika ya 71 na 89 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou. Kwa ushini huo, Barcelona inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mech 29 na kuendelea kuongoza La Liga, ikifuatiwa na Atletico Madrid pointi 56 na Real Madrid pointi 54
Jurgen Klopp Slams Translator over Wrong Jordan Henderson Quote
-
Liverpool manager Jurgen Klopp was annoyed after a German translator
misquoted Jordan Henderson during a press conference previewing the clash
with Red Bul...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment