• HABARI MPYA

    Saturday, August 11, 2018

    SPURS YAANZA VYEMA ENGLAND, YAICHAPA 2-1 NEWCASTLE

    Delle Alli (kulia) akishangilia na na mchezaji mwenzake, Harry Kane (kushoto) baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 18 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Newcastle United Uwanja wa St James Park leo. Bao la kwanza la Spurs limefungwa na Jan Vertonghen dakika ya nane wakati la Newcastle limefungwa na Joselu dakika ya 11 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SPURS YAANZA VYEMA ENGLAND, YAICHAPA 2-1 NEWCASTLE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top