Delle Alli (kulia) akishangilia na na mchezaji mwenzake, Harry Kane (kushoto) baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 18 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Newcastle United Uwanja wa St James Park leo. Bao la kwanza la Spurs limefungwa na Jan Vertonghen dakika ya nane wakati la Newcastle limefungwa na Joselu dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's critics are living in fantasy land: Here's why there's no chance
this group of players will 'bottle' the title, writes OLIVER HOLT
-
Many appear to have already convinced themselves that their run of three
league games without a win is all the proof they need: Arsenal are going to
bottle...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment