Wachezaji wa Chelsea FC wakimpongeza mwenzao, N'Golo Kante baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 34 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The John Smith, Huddersfield, West Yorkshire. Mabao mengine ya timu ya Maurizio Sarri yamefungwa na Jorginho kwa penalti dakika ya 45 baada ya Marcos Alonso kuangushwa kwenye boksi na la tatu Pedro dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sterling 'understands' Chelsea boos - Pochettino
-
Chelsea manager Mauricio Pochettino says it is important the club's fans
and players 'move on' after Raheem Sterling was booed by supporters.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment