• HABARI MPYA

    Friday, August 10, 2018

    SHAABAN IDDI CHILUNDA ALIPOTAMBULISHWA LEO TENERIFE

    Mshambuliaji chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Shaaban Iddi Chilunda (kushoto) akikabidhiwa jezi ya klabu yake mpya, CD Tenerife ya Daraja la Kwanza Hispania kufuatia kukamilisha uhamisho wake wa mkopo wa miaka miwili kutoka Azam FC ya nyumbani. Dar es Salaam.
    Shaaban Iddi Chilunda amepwa jezi namba 18/19 
    Shaaban Iddi Chilunda hapa akiwa amesimama pembemi ya sanamu 
    Shaaban Iddi Chilunda akifurahia wakati akizungumza na Waandishi wa Habari   

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHAABAN IDDI CHILUNDA ALIPOTAMBULISHWA LEO TENERIFE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top