Nahodha wa Manchester United leo, Paul Pogba akiifungia kwa penalti bao la kwanza Manchester United dakika ya tatu baada ya Daniel Amartey wa Leicester City kuunawa mpira kwenye boksi. United imeanza vyema Ligi kwa ushindi wa 2-1, bao la pili likifungwa na Luke Shaw dakika ya 83, kabla Jamie Vardy kuifungia la kufutia machozi Leicester dakika ya 90 ushei Uwanja wa Old Trafford leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: LeBron James, Anthony Davis React to Lakers Facing Elimination vs.
Nuggets
-
The Los Angeles Lakers, yet again, have fallen into an 0-3 playoff deficit
against the Denver Nuggets, this time in the first round of the NBA
playoffs. A…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment