Nahodha wa Manchester United leo, Paul Pogba akiifungia kwa penalti bao la kwanza Manchester United dakika ya tatu baada ya Daniel Amartey wa Leicester City kuunawa mpira kwenye boksi. United imeanza vyema Ligi kwa ushindi wa 2-1, bao la pili likifungwa na Luke Shaw dakika ya 83, kabla Jamie Vardy kuifungia la kufutia machozi Leicester dakika ya 90 ushei Uwanja wa Old Trafford leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sky Sports must take Roy Keane off Man United matches. His lazy, personal,
bitter agenda over Michael Carrick is embarrassing - and we have the
receipts, writes NATHAN SALT
-
In the aftermath of the 3-2 win over Arsenal on Sunday, Keane was
dismissing the prospect of Carrick becoming the next permanent United boss,
even if they ...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment