Mshambuliaji mpya wa Juventus, Cristiano Ronaldo akipasua katikati ya wachezaji wa Chievo leo katika mchezo wa Serie A Italia Uwanja wa Marc'Antonio Bentegodi mjini Verona. Juve imeshinda 3-2, mabao ya Sami Khedira dakika ya tatu, Mattia Bani aliyejifunga dakika ya 75 na Federico Bernardeschi dakika ya 90 na ushei, wakati ya Chievo yamefungwa na Mariusz Stepinski dakika ya 38 na Emanuele Giaccherini kwa penalti dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US House panel to vote on bill to give Congress authority over AI chip
exports
-
NEW YORK, Jan 21 (Reuters) - A key Republican lawmaker scheduled a
committee vote on Wednesday for a bill that would give Congress power over
artificial in...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment