Mshambuliaji mpya wa Juventus, Cristiano Ronaldo akipasua katikati ya wachezaji wa Chievo leo katika mchezo wa Serie A Italia Uwanja wa Marc'Antonio Bentegodi mjini Verona. Juve imeshinda 3-2, mabao ya Sami Khedira dakika ya tatu, Mattia Bani aliyejifunga dakika ya 75 na Federico Bernardeschi dakika ya 90 na ushei, wakati ya Chievo yamefungwa na Mariusz Stepinski dakika ya 38 na Emanuele Giaccherini kwa penalti dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U18s preview | Norwich City v Arsenal
-
Everything you need to know as our young Gunners make the trip to East
Anglia to face Norwich City
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment