Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Tottenham Hotspur dakika ya 77 ikiilaza 3-1 Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley, London leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Lucas Moura dakika ya 43 na Kieran Trippier dakika ya 74, wakati la Fulham limefungwa na Aleksandar Mitrovic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Palace put £60m price tag on both Eze and Olise
-
Crystal Palace will only entertain offers for Eberechi Eze and Michael
Olise that start at £60m or more for each player.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment