Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akiifungia timu yake mpya, Juventus bao la kwanza leo dakika ya nane katika mchezo wa kirafiki dhidi ya timu yao ya vijana chini ya umri wa miaka 19 kabla ya kusababisha bao la kujifunga kwa wadogo zao hao katika ushindi wa 5-0. Mabao mengine yalifungwa na Paulo Dybala mawili na Claudio Marchisio. Mreno huyo mwenye umri wa miaka 33 alikuwa anaichezea kwa mara ya kwanza timu hiyo iliyomnunua kutoka Real Madrid kwa dau la Pauni Milioni 100 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Penix Jr. Disappointed with 4.46-Second 40-Yard Dash: 'Should've
Been a 4.4'
-
Former Washington quarterback Michael Penix Jr. wasn't impressed with his
40-yard dash time of 4.46 seconds at the school's pro day on Thursday.
"Should've…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment