Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akiifungia timu yake mpya, Juventus bao la kwanza leo dakika ya nane katika mchezo wa kirafiki dhidi ya timu yao ya vijana chini ya umri wa miaka 19 kabla ya kusababisha bao la kujifunga kwa wadogo zao hao katika ushindi wa 5-0. Mabao mengine yalifungwa na Paulo Dybala mawili na Claudio Marchisio. Mreno huyo mwenye umri wa miaka 33 alikuwa anaichezea kwa mara ya kwanza timu hiyo iliyomnunua kutoka Real Madrid kwa dau la Pauni Milioni 100 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gaethje bloodies and breaks Pimblett's heart at UFC 324
-
A bloodied Paddy Pimblett loses to Justin Gaethje as the American claims
the interim lightweight UFC title in Las Vegas.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment