Mshambuliaji Raheem Sterling akifumua shuti dhidi ya wachezaji wa Arsenal, Matteo Guendouzi na Hector Bellerin kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji leo Uwanja wa Emirates, London. Bao la pili limefungwa na Bernardo Silva dakika ya 64 na wote kwa pasi za Benjamin Mendy kocha mpya, Mspaniola Unai Emery akianza vibaya msimu wake wa kwanza wa Ligi Kuu baada ya kuchukua nafasi ya Mfaransa, Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
One Man United defender features in the backline but which two players join
Bukayo Saka in the front three? Stats boffins reveal combined Arsenal vs
Man United XI
-
Manchester United will be looking to build on last weekend's dramatic derby
day victory when they head to the Emirates this Sunday.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment