Mshambuliaji Raheem Sterling akifumua shuti dhidi ya wachezaji wa Arsenal, Matteo Guendouzi na Hector Bellerin kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji leo Uwanja wa Emirates, London. Bao la pili limefungwa na Bernardo Silva dakika ya 64 na wote kwa pasi za Benjamin Mendy kocha mpya, Mspaniola Unai Emery akianza vibaya msimu wake wa kwanza wa Ligi Kuu baada ya kuchukua nafasi ya Mfaransa, Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Georgia star Javon Bullard screams 'I'm a F****NG Packer' in joyous scenes
with his family after getting NFL Draft call from Green Bay in second round
-
Georgia safety Javon Bullard shared a joyous moment with his family on
Friday night, screaming 'I'm a f****ng Packer!' after getting an
all-important call ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment