Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris St Germain bao la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Caen kwenye mchezo wa kwanza wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Neymar ameichezea kwa mara ya kwanza PSG tangu alipoumiwa Februari mwaka huu na mabao mengine ya timu hiyo yamefungwa na Adrien Rabiot dakika ya 35 na Tim Weah dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Schefter: Falcons HC 'Truly Loved' Michael Penix Jr. Despite Kirk Cousins
Contract
-
Even though the Atlanta Falcons stunned the world by selecting Michael
Penix Jr. with the No. 8 pick in the 2024 NFL draft on Thursday night, it
was not a…
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment