Winga Mbrazil, Malcom Filipe Silva de Oliveira maarufu tu kama Malcom, akifumua shuti ndani ya eneo la penalti kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Boca Juniors kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou huo mchezo wake wa kwanza baada ya kusajiliwa kutoka Bordeaux. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Leonel Messi dakika ya 39 na Rafael Alcantara do Nascimento 'Rafinha' dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Expert reveals why Man United's fall down football's Money League could be
a huge blow to their fans - and how rivals Liverpool leapfrogged them
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY JAMES SHARPE: Even through the club boasted record
revenues last year of almost £666m, their dismal on-field showings have
left them...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment