Mshambuliaji wa Al Masry, Mohamed Abdellatif 'Grendo' akitafuta maarifa ya kumpita beki Mghana wa Simba, Asante Kwasi katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Port Said, Misri. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0 na Al Masry inasonga mbele kwa faida ya mabao ya ugenini baada ya sare ya 2-2 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
Mohamed Abdellatif akimlamba chenga Asante Kwasi huku Mghana mwenzake, Asante Kwasi akishuhudia
Beki wa Simba, Mghana Asante Kwasi akiingiza mguu kuondoa mpira kwenye himaya ya mchezaji wa Al Masry, Mohamed Mostafa Emam 'Shatta'
Mshambuliaji Mghana wa Simba, Nicholaus Gyan anayetumika kama beki katika mfumo wa sasa akimdhibiti winga wa Al Masry, Mohamed Ahmed
Ahmed Shokry wa Al Masry akipiga hesabu za kumpita beki wa Simba, Shomary Kapombe
Beki wa Simba, YUssuf Mlipili akiokoa mbele ya mchezaji wa Al Masry jana
Kikosi cha Al Masry kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Port Said
Kikosi cha Simba kabla ya mchezo wa jana POrt Said
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment