Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao mawili ndani ya dakika mbili za mwisho kati ya nne za muda wa nyongeza baada ya kutimua dakika 90 za kawaida za mchezo, Ureno ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 2-1 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa Uwanja wa Letzigrund mjini Zurich, Uswisi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Soccer Aid 2024: Alex Scott returns as host while Bobby Brazier and Tommy
Fury lead the stars lacing up their boots and taking to the pitch for
annual charity match
-
Soccer Aid for UNICEF 2024 has announced it's celebrity players ahead of
the annual charity match on Sunday 9th June at Stamford Bridge.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment