• HABARI MPYA

    Tuesday, March 27, 2018

    SHANGWE ZA MABAO TAIFA STARS IKIUA CHUI WA KONGO LEO

    Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta (katikati) akifurahi na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Taifa Stars bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
    Mbwana Samatta anayecheza KRC Genk ya Ubelgiji kiwa na Simon Msuva wa Difaa Hassan El Jadidi ya Morocco 
    Mbwana Samatta akikimbia baada ya kutikisa nyavu za The Leopard (Chui) wa Kongo
    Wanaomfuata nyuma ni Ibrahim Ajib (kulia) wa Yanga ya Dar es Salaam na Simon Msuva 
    Mfungaji wa bao la pili la Taifa Stars, Shiza Kichuya akishangilia baada ya kufunga
    Kiungo wa Simba ya Tanzania, Shiza Kichuya akitembea kwa madaha baada ya kufunga
    Mgongoni kwa Mbwana Samatta ni Shiza Kichuya baada ya kufunga bao la pili
    Mashabiki wakishangilia ushindi wa Taifa Stars leo
    Mashabiki wa Tanzania walikuwa wenye furaha leo baada ya mabao hayo ya kipindi cha pili 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHANGWE ZA MABAO TAIFA STARS IKIUA CHUI WA KONGO LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top