• HABARI MPYA

    Friday, March 23, 2018

    VODACOM NA AZAM TV WAMNG'ARISHA PAPY KABAMBA TSHISHIMBI

    Afisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania PLC, Ibrahim Kaude (katikati) akimkabidhi kiungo Mkongo wa Yanga SC, Papy Kabamba Tshitshimbi tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara kwa mwezi Februari mwaka huu sambamba na fedha taslimu Sh. Milioni 1 na kisimbusi cha Azam TV, kutoka kwa wadhamini wengine wa Ligi Kuu, Azam TV
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VODACOM NA AZAM TV WAMNG'ARISHA PAPY KABAMBA TSHISHIMBI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top