• HABARI MPYA

    Saturday, March 24, 2018

    BRAZIL YAWACHAPA 3-0 WENYEJI WA KOMEB LA DUNIA, URUSI

    Willian wa Brazil akimtoka Denis Glushakov wa Urusi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Olimpiyskiy Luzhnik, Moscow. Brazil ilishinda 3-0, mabao ya Joao Miranda dakika ya 53, Philippe Coutinho dakika ya 62 kwa penalti na Paulinho dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRAZIL YAWACHAPA 3-0 WENYEJI WA KOMEB LA DUNIA, URUSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top