Beki wa kimataifa wa Hispania, Sergio Ramos akifurahia na mpenzi wake, Pilar Rubio baada ya kupata mtoto wao wa tatu Alejandro aliyezaliwa jana Saa 12:24 jioni akiwa na uziro wa kilogramu 3.1. Ramos alilazimika kuondoka kambi ya timu ya taifa kwenda kuungana na Rubio, mpenzi wake tangu Septemba mwaka 2012 na tayari wana watoto wengine wawili pamoja, Marco mwenye umri wa miaka miwili Sergio Jr mwenye umri wa miaka mitatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MTN FA Cup: Defending champions Dreams FC set to take on Soccer
Intellectuals in quarterfinals
-
Defending champions Dreams FC will enter the quarterfinals with optimism as
they have been drawn to face Soccer Intellectuals in this season's MTN FA
Cup.T...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment