• HABARI MPYA

    Thursday, March 29, 2018

    ANTHONY JOSHUA ALIVYO TAYARI KWA PAMBANO LAKE LA JUMAMOSI

    Bondia Anthony Joshua akitabasamu wakati anawatazama mashabiki 1,000 alipojitokeza hadharani jana ukumbi wa  St David's Hall mjini Cardiff, Uingereza kuelekea pambano lake la ngumi za kulipwa uzito wa juu dhidi ya Joseph Parker Jumamosi ukumbi wa Principality kuunganisha mataji ya IBF, WBA na WBO uzito wa juu PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ANTHONY JOSHUA ALIVYO TAYARI KWA PAMBANO LAKE LA JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top