• HABARI MPYA

    Thursday, March 22, 2018

    MESSI ALIPOKUTANA NA 'DIGI DIGI WA MAN CITY LEO ETIHAD

    Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa amezingirwa na wachezaji wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka saba na nane (U-7 na U-8) wa Manchester City leo Uwanja wa Etihad ambako timu ya taifa ya Argentina inafanya mazoezi mazoezi kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Italia Ijumaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI ALIPOKUTANA NA 'DIGI DIGI WA MAN CITY LEO ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top