Kocha wa timu ya taifa ya England, Gareth Southgate akizungumza na mshambuliaji Harry Kane, ambaye yuko nje ya kikosi kwa sababu ya maumivu ya mguu. Lakini jana wakati anazungumza na Southgate kwenye mazoezi ya Three Lions jana viwanja vya Enfield, ikijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Italia kesho, Kane hakuwa na magongo ya kutembelea kuashiria amepata ahueni ya maumivu yake aliyoyapata mapema mwezi huu katika mchezo na Bournemouth na kutakiwa kuwa nje kwa wiki sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment