Gwiji wa Riadha, Mjamaica Usain Bolt akifanya mazoezi na wachezaji wa klabu ya Borussia Dortmund ambayo inadhaminiwa na Puma kama yeye nchini Ujerumani jana. Bolt, ambaye ataiongoza timu ya dunia 'World XI' dhidi ya Robbie Williams wa England katika Soccer Aid mwezi Juni, tayari ameanza mazoezi ya kujiandaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tears of Tottenham's crying captain: Cristian Romero accused of sending his
team 'the wrong message' as they face relegation - in dismantling of his
behaviour on Match of the Day
-
Cristian Romero has been criticised by former England goalkeeper Ben Foster
after he left the pitch in tears during Tottenham's catastrophic 1-0 defeat
aga...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment