Msanii wa kike, Preetika Rao maarufu kama 'Aaliyah' baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni ya leo kwa ajili ya kupamba usiku wa tuzo za filamu Tanzania, ujulikanao kama SZIFF Jumapili ukumbi wa Mlimani City Jijini.
Aaliyah aliyejipatia umaarufu kupitia tamthiliya ya Beintehaa ambayo imekuwa ikirushwa na Televisheni ya Azam katika lugha ya Kiswahili baada ya kutafsiriwa akivaa kofia yake kwa madaha
Maofisa wa kike wa Azam TV wakimpokea msanii huyo leo
Queensland Government 'consider SCRAPPING the Brisbane 2032 Olympic Games'
after public backlash... but are warned pulling out will cost $500MILLION
-
9News has reported that the Queensland discussed the possibility of pulling
out of hosting duties, in a move that would send shockwaves throughout the
spor...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment