• HABARI MPYA

    Tuesday, March 27, 2018

    RONALDO AKUTANA NA WATU WA KAZI, URENO YAPIGWA 3-0 NA UHOLANZI

    Mwanasoka Bora wa Dunia mara tano, Cristiano Ronaldo (kushoto) wa Ureno akijaribu kupiga krosi mbele ya beki wa Uholanzi, Ake (kulia) katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Geneva, Uswisi. Uholanzi ilishinda 3-0 mabao ya Memphis Depay dakika ya 11, Ryan Babel dakika ya 32 na Virgil van Dijk dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AKUTANA NA WATU WA KAZI, URENO YAPIGWA 3-0 NA UHOLANZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top