Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 19 na 39 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Saudi Arabia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Bruselles. Mabao mengine yamefungwa na Michy Batshuayi dakika ya 77 na Kelvin De Bruyne dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment