Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 19 na 39 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Saudi Arabia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Bruselles. Mabao mengine yamefungwa na Michy Batshuayi dakika ya 77 na Kelvin De Bruyne dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment