• HABARI MPYA

    Wednesday, March 28, 2018

    LUKAKU AFUNGA MABAO MAWILI UBELGIJI YASHINDA 4-0

    Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 19 na 39 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Saudi Arabia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Bruselles. Mabao mengine yamefungwa na Michy Batshuayi dakika ya 77 na Kelvin De Bruyne dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AFUNGA MABAO MAWILI UBELGIJI YASHINDA 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top